Akida

Akida a song by Zabron Singers on Foxsoundi — Free Music, Smart Streaming for Everyone

Akida by Zabron Singers

Akida Lyrics

Namtapta bwana yule yule wa ushindi
Mi ndio peke najua wapi alikonitoa
Nina historia uzoefu wa ushindi
Kwa macho nimeona Mungu alivyonibeba
From zero to hero from nothing to something
Nami leo ni mtu katikati ya watu

Hakuna kama Mungu
Hii dunia alitamka ikawa ikatokea
Umbali tumefika ni huyu Yesu
Asingekuwa Mungu singefika hapa

Nami kama akida bwana ukisema neno tu
Hapa nilipo shida zangu zitakoma
Yani kama akida bwana utamke neno tu
Hebu sema neno hapa nilipo shida zangu zitakoma
Yani kama akida bwana ukisema neno tu
Hapa nilipo shida zangu zitakoma
Heee kama akida bwana utamke neno tu
Hebu sema neno hapa nilipo shida zangu zitakoma
Zitakoma shida zangu zitakoma sema neno
Hapa nilipo shida zangu zitakoma
Zitakoma shida zangu zitakoma bwana sema neno

Hapa nilipo heee hapa nilipo
Yesu hapa nilipo heee bwana hapa nilipo
Shida zangu zitakoma

Akida aliishi na mtumwa aliye mpenda
Ka uguwa akia sijatakufa
Aka tumawa zee wamwite Yesu aje nyumbani mwake
Heee alipotumawa zee wamwite Yesu nyumbani mwake aje
Ili amponye huyu mtumwa wake
Kabla afike tena akatuma wajumbe

Yesu wala usijisumbue
Kufika nyumbani kwa akida
Sema neno tu hapo ulipo
Na mtumwa atapona
Yesu aka ugeukia mkutano
Kawaambia sijaona
Israel hii yote sijaona
Imani kubwa kama hii
Walipofika nyumbani kule
Nyumbani kwa yule akida
Walimkuta mtumwa yule tayari keshapona

Nami kama akida bwana ukisema neno tu
Hapa nilipo shida zangu zitakoma
Yani kama akida bwana utamke neno tu
Hebu sema neno hapa nilipo shida zangu zitakoma
Yani kama akida bwana ukisema neno tu
Hapa nilipo shida zangu zitakoma
Heee kama akida bwana utamke neno tu
Hebu sema neno hapa nilipo shida zangu zitakoma
Zitakoma shida zangu zitakoma sema neno
Hapa nilipo shida zangu zitakoma

From the album: Akida