Kare
Kare a song by P-Unit on Foxsoundi — Free Music, Smart Streaming for Everyone
Kare Lyrics
Mazee nilipatana na huu dame
Akani-show hakuna maMC wakali
So... nikampeleka Decimal
Akapatana na Punit
Alafu Musyoka akanipea hii track
Twende kazi
1 (Frasha)
Frasha, mi mkali
Nilianzanga mziki tu na Nakitare
Akajikalisha basi tu na dakitare
Si unajua Frasha nakuwaga dakitare
But mtaani, mi ni ordinary
Si wa geti kali, boss mi mnare
Ndio maana tudame tunashindanga kerere
Wanataka mpango wa kando ati niwadare
Boss, hey, nisha-mare
Niko mdogo mdogo tu kwenye gare
Mmm, ha? Si usare
Nikisonga mbele wako pare pare
Pale pale? Eh, pare pare
Si tuko kwenye club tuna-party party
Parerezo yaani pare pare
Mnarusha mizuga tu pare pare
Maishani mwangu
Sijapata mkare, mkare, mkare
Maishani mwangu
Sijamwona mkare, mkare, mkare
2 (Bon'eye)
Bon'Eye jemedari mkare
Mistari generale kare
Generali tangu kale, kare
Kikundi serikale, yaani
Siri kali tangu kale, kare
Haijalishi kale gani kare
Kazi zote karekare, kare
Nakatika ile hali kare
Cash and carry in a hurry, kare
Carry forward, Kari Francis, haree
Safari za mbalimbali, kare
Biashara mbarembare, kare
Hatuchoki na hii safari, kare
Sauti za kinyumbani, kare
Wekelea kwa dakitare, kare
Ya dakitare na ni kare ke!
Maishani mwangu
Sijapata mkare, mkare, mkare
Maishani mwangu
Sijamwona mkare, mkare, mkare
3 (Buganya)
Buganya nina sware
Madada kibao, wote shware
Wanamuka mbele yangu, na ni sare
Wanataka leta noma na kucheza ngware
Kwangu kuja nje kuna mbwa kare
Nyumba ndani huko pata bibi kare
Mkare... mkare... mkare na si mkale
Nimeng'ara Karl Kani gani toka kare
Nimechapa toto ware ware bado kare
Kama umeshindwa basi reta ture
Na uongeze ture ndio mi nikure
Kuja turerembe kure tuko rembe
Nyewe kowa manyu wanataka rembe
Wanakaa nakatika kama wembe
Otwabe cheki Buganya kitambe
Maishani mwangu
Sijapata mkare, mkare, mkare
Maishani mwangu
Sijamwona mkare, mkare, mkare
Akani-show hakuna maMC wakali
So... nikampeleka Decimal
Akapatana na Punit
Alafu Musyoka akanipea hii track
Twende kazi
1 (Frasha)
Frasha, mi mkali
Nilianzanga mziki tu na Nakitare
Akajikalisha basi tu na dakitare
Si unajua Frasha nakuwaga dakitare
But mtaani, mi ni ordinary
Si wa geti kali, boss mi mnare
Ndio maana tudame tunashindanga kerere
Wanataka mpango wa kando ati niwadare
Boss, hey, nisha-mare
Niko mdogo mdogo tu kwenye gare
Mmm, ha? Si usare
Nikisonga mbele wako pare pare
Pale pale? Eh, pare pare
Si tuko kwenye club tuna-party party
Parerezo yaani pare pare
Mnarusha mizuga tu pare pare
Maishani mwangu
Sijapata mkare, mkare, mkare
Maishani mwangu
Sijamwona mkare, mkare, mkare
2 (Bon'eye)
Bon'Eye jemedari mkare
Mistari generale kare
Generali tangu kale, kare
Kikundi serikale, yaani
Siri kali tangu kale, kare
Haijalishi kale gani kare
Kazi zote karekare, kare
Nakatika ile hali kare
Cash and carry in a hurry, kare
Carry forward, Kari Francis, haree
Safari za mbalimbali, kare
Biashara mbarembare, kare
Hatuchoki na hii safari, kare
Sauti za kinyumbani, kare
Wekelea kwa dakitare, kare
Ya dakitare na ni kare ke!
Maishani mwangu
Sijapata mkare, mkare, mkare
Maishani mwangu
Sijamwona mkare, mkare, mkare
3 (Buganya)
Buganya nina sware
Madada kibao, wote shware
Wanamuka mbele yangu, na ni sare
Wanataka leta noma na kucheza ngware
Kwangu kuja nje kuna mbwa kare
Nyumba ndani huko pata bibi kare
Mkare... mkare... mkare na si mkale
Nimeng'ara Karl Kani gani toka kare
Nimechapa toto ware ware bado kare
Kama umeshindwa basi reta ture
Na uongeze ture ndio mi nikure
Kuja turerembe kure tuko rembe
Nyewe kowa manyu wanataka rembe
Wanakaa nakatika kama wembe
Otwabe cheki Buganya kitambe
Maishani mwangu
Sijapata mkare, mkare, mkare
Maishani mwangu
Sijamwona mkare, mkare, mkare
From the album: Wagenge Hao
-
Imani by P-Unit , Christine Apondi , -
Ganji by P-Unit , -
Juu Tuu Sana by P-Unit , -
Una by P-Unit , Dn'A , -
Mr. Omondi by P-Unit , -
Si Lazima by P-Unit , Nonini , -
Swagger Nayo by P-Unit , -
Hapa Kule by P-Unit , Nonini , -
Aggie Na Maggie by P-Unit , -
Rush Hour by P-Unit , Blavio , Collo , -
Kare by P-Unit , Mimmo , -
Mr. Kamau by P-Unit , -
Alright by P-Unit , Wyre , -
Kupanda Na Kushuka by P-Unit , Mchizi Gaza , Lady Bee , Nonini , -
Posa by P-Unit , Chidi Benz , -
Uskonde by P-Unit , Mchizi Gaza , -
Kushoto Kulia by P-Unit , Nonini , -
Kare Acoustik by P-Unit , Dan , Mimmo ,